Shop for Rent in Sinza, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 3,000,000 per month

Type

Shop

Amenities

Near Paved Road

Description

🔥 FREM KUBWA SANA INAPANGISHWA – SINZA 🔥

Hii sio frem ya kawaida – ni nafasi adhimu kwa biashara kubwa!

📍 Eneo: Sinza (inatizama lami)
💰 Bei: 3,000,000/= kwa mwezi
📏 Frem kubwa sana – perfect kwa biashara kubwa
✨ Ipo eneo lililochangamka sana lenye wateja wa uhakika

✅ Inafaa kwa:
🛍️ Duka kubwa la nguo
📱 Duka la electronics
💄 Duka la vipodozi
🎒 Accessories shop
🥤 Duka la vinywaji na biashara nyingine nyingi

💵 Service Charge: 30,000/=

📞 Piga simu sasa: 0787093748

🚀 Hii ni nafasi ya kipekee kukuza biashara yako kwenye eneo la kimkakati – usichelewe!