Shop for Sale in Mabibo Sokoni, Dar Es Salaam


Mabibo, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 9,000,000
Amenities
Description
TANGAZO LA BIASHARA BUTCHER INAUZWA š„©
Butcher nzuri na yenye wateja inauzwa, ipo Mabibo Sokoni eneo la barabarani kabisa ā sehemu nzuri kwa biashara kutokana na muonekano na mzunguko mkubwa wa watu.
š Location: Mabibo Sokoni
š° Bei: Milioni 9 (9,000,000/=)
ā Kodi ni Tsh 250,000 tu kwa mwezi
ā Ndani tayari kuna miezi 4 ya kodi imelipiwa
š¹ Vifaa vilivyopo ndani ya butcher:
ā
Freezer 2
ā
Mzani
ā
Mashine ya kukatia nyama/samaki
ā
Meza ya kuparulia samaki
ā
Vifaa vya usafi
ā
Na vifaa vingine vidogo vidogo vya butcher
Biashara ipo tayari kuendelea mara moja bila usumbufu wa kuanza upya.
Call 0752573112#0702099083
Service charge 20,000/=

