Shop for Sale in Sinza, Dar Es Salaam


Amenities
Description
🔥 SALON YA KIKE INAUZWA – SINZA 🔥
Unatafuta biashara iliyo tayari kuendelea nayo? Hii ni nafasi nzuri sana! 💇♀️✨
💰 Bei ya kuuza: TSh 3,500,000/=
🤝 Maongezi yapo
📍 Ipo Sinza
🏠 Kodi ya frem: TSh 250,000/= kwa mwezi
📅 Kodi inaisha 16 September
💵 Service Charge: TSh 30,000/=
✨ Fursa nzuri kwa mtu anayehitaji kuingia kwenye biashara ya salon bila kuanza kila kitu kutoka sifuri.
📞 CALL: /
🚨 Wahi sasa kabla nafasi hii haijachukuliwa!
#SalonInauzwa #Sinza #BiasharaDar #SalonYaKike #BiasharaInauzwa















