Farm for Rent in Mbinga Mhalule, Ruvuma
ID: 260906G7NWAMbinga Mhalule, Ruvuma
3 hours ago
Sh. 80,000/acre
Type
Farm
Nearest Road
25km
Amenities
Description
MASHAMBA YANAKODISHWA KWA MSIMU
Location, Mbinga Mhalule Songea
Mashamba yapo karibu sana na Songea mjini na yapo sehemu nzuri sana inayofikika kwa urahi katika kipindi chote cha mwaka hata kifuku
Mashamba yanarutuba na hutumiii mbolea nyingi ili kupata mavuno yakutosha
Umbali kutoka songea mjini ni km 25 tu na barabara ni nzuri gari linafika mbaka shambani
Unaweza kukodi kuanzia ekari 1 na zaidi ni uwezo wako tu
Bei ni elfu 80 kwa ekari moja
MASHAMBA NI MAZURI SANA NA YANATOA MAHINDI VIZURI SANA
Kwenda site 30000
Kwa maelezo zaidi gusa link hiyo chini👇
https://wa.link/8irs4n
CALL& WHATSAPP
SAVE DALALI SMART SONGEA 🤳

