Farm for Sale in Gumbiro, Ruvuma
Type
Farm
Nearest Road
10km
Description
π± MASHAMBA BORA YANAUZWA β GUMBIRO SONGEAπ±
π Location: Gumbiro
π£ Upatikanaji:
Mashamba yanaanzia barabarani na kushuka mpaka mtoni.
Barabara zinapitika misimu yote ya mwaka (kiangazi na kifuku).
πΎ Ubora wa ardhi:
β Udongo wenye rutuba kubwa
β Mashamba hayajawahi kulimwa hata siku moja β ni msitu bikira, tayari kuanzisha kilimo
β Yana bikoni/mipaka ya wazi inayoonekana vizuri
β Hakuna mgogoro wa aina yoyote
π Umbali:
Km 10 tu kutoka barabara ya lami hadi mashambani
π Nyaraka:
β Hati miliki ya kijiji ipo tayari
π½ Mazao yanayofaa kulimwa:
Mahindi
Maharage
Mbaazi
Ufuta
Kalanga
Mazao ya bustani (kwa umwagiliaji β maji yapo ya kutosha)
π° Bei: Tsh 170,000 kwa hekari moja
π€ Maongezi yapo
π Kwenda kuona site: Tsh 30,000
π₯ NJOO UMILIKI MASHAMBA β NJOO ULIME SEHEMU YENYE RUTUBA π₯
Kwa maelezo zaidi gusa link hiyo chiniπ
https://wa.link/8irs4n
CALL& WHATSAPP 0682975711
SAVE DALALI SMART SONGEA π€³

