Farm for sale in Morogoro acre 2


Plot Size
2 ACRE
Nearest Road
100m
Amenities
Description
🚨 SHAMBA LINAUZWA – FURSA YA UWEKEZAJI! 🚨
💰 Bei: Milioni 12 Tu
Shamba lenye ukubwa wa hekari 2 linauzwa kwa bei nafuu. Lipo eneo zuri na lenye maendeleo, umbali wa mita 100 tu kutoka barabara kubwa.
✅ Umeme umeshafika eneo husika
✅ Maji yanapatikana kwa kuchimba kisima
✅ Linafaa kwa kilimo, makazi au uwekezaji wa baadaye
✅ Mazingira mazuri na rahisi kufikika
📞 Kwa maelezo zaidi na kutembelea eneo, piga simu: 0678 517 158 / 0785 517 158
𝗡𝗕: 𝖲𝗂𝗍𝖾 𝗏𝗂𝗌𝗂𝗍 50,000/=
Wahi sasa kulichukua kabla halijapata mnunuzi mwingine! 🌱🏡💼















