Farm for Sale in Nduruma, Arusha (10 acre)

Amenities
Description
š¢ SHAMBA KUBWA LINAUZWA - NDURUMA, ARUSHA! š³
Je, unatafuta eneo kubwa kwa ajili ya uwekezaji wa kilimo au mradi wa maendeleo? Tunauza shamba zuri sana lenye ukubwa wa HEKA 10.
š Eneo: Nduruma
š£ļø Umbali: Kilomita 10 tu kutoka barabara ya lami (East Africa Highway).
š° Bei: Shilingi 12,000,000 (Milioni 12) kwa heka moja.
ā
Fursa: Eneo hili linafaa kwa kilimo, ufugaji, au uwekezaji wa muda mrefu Lina maji ya MFEREJI.
ā
Lipa kwa AWAMU: Tunatoa utaratibu rahisi wa malipo.
Usikose fursa hii ya kipekee ya kumiliki ardhi yenye thamani!
š Wasiliana nasi sasa:
0627 779 772
InnoPlot ā Mtaalamu wako wa viwanja na mashamba.






