Farm for sale in Sungwi, Masaki, Kisarawe, Pwani acre 30

Plot Size
30 ACRE
Nearest Road
3km
Amenities
Description
SHAMBA LENYE HATI EKARI 30,TZS.300 MILIONI,SUNGWI,MASAKI,KISARAWE.
Ni umbali wa jumla wa kilomita 60 kutoka Dar mijini.
Kisarawe-Mijini hadi Shamba ni kikomita 27.
Na kilomita 3 tu kutoka Barabara/LANI inayoelekea MSANGA.
Ardhi nzuri tambarare yenye rutuba.
Shughuli unazoweza kufanya hapa ni pamoja na;
Kilimo, Ufugaji, Kiwanda,Shule nk.
Ndani yake kuna miti ya kudumu iliyokomaa kama Miembe,Michikichi, Minazi na,Mikorosho.
UMILIKI NI HATI (Title Deed) ya Wizara.
VIZURI HAVIKAI. WAHI.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
______________zw



