Retail Space for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 200,000

Type

Retail Space

Description

🔥FREMU YA BIASHARA INAPANGISHWA - KIMARA KOROGWE KALIBU🔥

📍Tunapangisha fremu kubwa na imara yenye store ya ndani, ipo Kimara - Korogwe Kalibu, inakabili Morogoro Main Road. Ni eneo zuri sana kwa biashara, lina mwonekano mzuri na mzunguko mkubwa wa watu.

🏠Maelezo ya Fremu:

Kodi: Tsh 200,000/= kwa mwezi
Ina store ndani
Maji & Umeme: Vipo
Ubora: Imara sana, malebisho yanaendelea

Inafaa kwa:✅

🔹Duka la bidhaa
🔹Wakala
🔹Saloon / Beauty Shop
🔹Ofisi
🔹Shughuli nyinginezo za kibiashara

Gharama Nyingine:
🔸Service charge: Tsh 15,000/=
🔸Kodi ya mwezi mmoja ya dalali

🔸Mahali: Korogwe Kalibu, karibu na 🔸barabara kuu ya Morogoro

Piga simu / WhatsApp:📞

IMELUDI TENA🙃

0713661530_0783661530