Retail Space for Rent in Makongo, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 250,000 per month

Type

Retail Space

Amenities

Near Paved Road

Description

🔥 FREM INAPANGISHWA – MAKONGO 🔥

Frem kubwa sana inapangishwa Makongo, ipo sehemu nzuri kabisa inatizama lami – location ya uhakika kwa biashara!

✔️ Inafaa kwa biashara yoyote
✔️ Eneo lina muonekano mzuri na linavuta wateja kirahisi
✔️ Accessibility ni rahisi sana

💰 Bei: 250,000/= kwa mwezi
🧾 Service Charge: 30,000/=

📞 Wahi sasa: 0787093748

Usikose nafasi hii ya kipekee! 🚀