Search

Retail Space for Sale in Tabata, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 7,000,000

Amenities

Parking Space
Furniture And Fixtures
Refrigerators
Sound System
Television
Beverage Showcase

Description

šŸ» BAA INAUZWA – TABATA, DAR ES SALAAM šŸ»

šŸ’° Bei: Milioni 7 Tu

Fursa adhimu ya kuendelea na biashara iliyokwisha simama vizuri! Baa hii ipo katika location nzuri ya Tabata na inauzwa ikiwa na vifaa vyote muhimu vya biashara.

āœ… Viti na meza
āœ… Counter kamili
āœ… Friji
āœ… Kreti za bia
āœ… TV
āœ… Mfumo wa muziki
āœ… Showcase ya kuwekea vinywaji
āœ… Parking ya kutosha
āœ… Biashara tayari ina wateja na inaendelea vizuri

Pia unapata:

šŸ’µ Ofisi ya Wakala (M-Pesa, Airtel Money, HaloPesa n.k.)
šŸŸ Sehemu ya jiko kwa biashara ya chipsi na vyakula vingine
šŸŖ Uwezekano wa kupangisha sehemu za wakala au jiko kwa kipato cha ziada

šŸ“ Location ni nzuri sana na biashara ipo tayari, unanunua na kuendelea moja kwa moja.

āœˆļø Mwenye biashara anauza kutokana na sababu za safari.

šŸ“ž Muhitaji piga simu: +255688412890
šŸ’µ Service Charge / Gharama ya Huduma: 30,000/=

✨ Wahi Sasa Offer Kabambe!
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!

Similar properties in Tabata, Dar Es Salaam

Retail Space for Sale in Tabata, Dar Es Salaam

Sh. 7,000,000

For Salebar
  • Parking Space