Retail Space for Rent in Sinza, Dar Es Salaam


Amenities
Description
π₯ FREM YA KIBABE INAPANGISHWA β SINZA π₯
Unatafuta frem kubwa na ya hadhi kwa biashara yako? Hii ndiyo nafasi sahihi!
π° Bei: TZS 800,000/= kwa mwezi
β
Frem kubwa sana
β
Muonekano wa kisasa na wa kuvutia
β
Ipo mtaa mzuri sana wenye shughuli nyingi
β
Ingawa haitazami lami, eneo lake ni bora kwa biashara
β
Inafaa kwa biashara yoyote
β
Mazingira salama na rafiki kwa wateja
π° Service Charge: TZS 30,000/=
π Call: /
Wahi kuiona na kuichukua kabla haijapangishwa. Frem ya kiwango hiki kwa bei hii ni fursa adimu!
#FremInapangishwa #Sinza #Biashara #DarEsSalaam















