Retail Space for Rent in Sinza, Dar Es Salaam
Description
🔥 FREM YA KIBABE INAPANGISHWA – SINZA 🔥
Unatafuta frem kubwa na ya hadhi kwa biashara yako? Hii ndiyo nafasi sahihi!
💰 Bei: TZS 800,000/= kwa mwezi
✅ Frem kubwa sana
✅ Muonekano wa kisasa na wa kuvutia
✅ Ipo mtaa mzuri sana wenye shughuli nyingi
✅ Ingawa haitazami lami, eneo lake ni bora kwa biashara
✅ Inafaa kwa biashara yoyote
✅ Mazingira salama na rafiki kwa wateja
💰 Service Charge: TZS 30,000/=
📞 Call: /
Wahi kuiona na kuichukua kabla haijapangishwa. Frem ya kiwango hiki kwa bei hii ni fursa adimu!
#FremInapangishwa #Sinza #Biashara #DarEsSalaam















