House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
Sh. 38,000,000

Type

House

Description

🌟 KIWANJA CHA KUUZWA KIMARA BARUTI – FURSA ADIMU! 🌟

Kiwanja kizuri kinauzwa Kimara Baruti, umbali wa dakika 7–8 kutembea kutoka Stendi ya Mwendo Kasi.
Ukifika kwa bodaboda, ni Tsh 1,000 tu kufika kiwanjani.

📐 Ukubwa wa Kiwanja:
26 m × 16 m = 416 sqm
Marefu 26, mapana 16

📍 Mahali: Kimara Baruti – eneo tulivu, salama, na linalokua kwa kasi.

💧 Huduma za Maji: Zipo karibu sana
⚡ Umeme: Upo jirani
🌍 Huduma za jamii: Maduka, shule, usafiri, na vituo muhimu viko karibu

🏠 Matumizi Yanayofaa:
– Makazi ya familia
– Nyumba za kupangisha
– Ujenzi wa nyumba ya kisasa yenye nafasi

💰 Bei ya Kiwanja:
Tsh 38,000,000 tu
(Maongezi madogo yapo kwa mteja makini)

Service charge 40,000/=

Kiwanja kipo katika sehemu safi na yenye maendeleo — uwekezaji salama, wenye faida, na usiopaswa kuachwa!

Kwa maelezo zaidi piga :--

0712528820
0685221354

Mr.