House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 200,000

Type

House

Description

APARTIMENT INAPANGISHWA KIMARA TEMBONI #200k
====

Vyumba vya kulala Viwili kimojawapo master bedroom
Sebule kubwa
Choo cha public nje
JIKO kubwa
Kila apartment inajitegemea umeme na maji
====

BEI:200,000 KWA MWEZI × 6

====

Inajitegemea umeme, Maji Dawasco yanaflow chooni. Ndani ya fence parking IPO wapangaji 2

===

Umbali KM 2.5 Bajaji zipo ukishuka unaingia ndani

===

Kupelekwa kuona Nyumba elfu 15 itadumu mpaka Upate bila kuchajiwa Tena

=====

O679447338
O753454167