House/Apartment for Rent in Chang’ombe, Dar Es Salaam




Type
Apartment
Plot Size
500 SQM
Amenities
Description
🏡 APARTMENT NZURI YA KUPANGISHA – CHANG'OMBE, DAR ES SALAAM 🏡
Je, unatafuta nyumba ya kisasa, salama na iliyo karibu na katikati ya jiji? Fursa hii ni kwa ajili yako!
✨ Sifa za Apartment: ✅ Chumba cha kulala (Master Bedroom)
✅ Sebule kubwa na yenye nafasi ya kutosha
✅ Jiko la kisasa
✅ Air Condition (A/C)
✅ Ipo ndani ya fensi salama
✅ Mazingira safi, tulivu na yanayovutia
✅ Barabara nzuri hadi getini
📍 Eneo Zuri na Rahisi Kufikika
• Dakika chache tu kufika City Centre
• Karibu na Kariakoo
• Rahisi kufika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere • Karibu na Bandari ya Dar es Salaam
💰 Kodi: TZS 470,000 kwa mwezi
🔐 Dhamana: Kodi ya mwezi 1
💼 Ada ya Dalali: Kodi ya mwezi 1
👀 Ada ya Kuona Nyumba: TZS 10,000
📞 Wasiliana Nasi Sasa:
Simu/WhatsApp: 0679907128
