House/Apartment for Rent in Sinza, Dar Es Salaam

Description
Apartment for rent
Kwa wale wanaopenda mazingira mazuri mtaa mzuri nyumba yakawaida inapangishwa ipo sinza hood bei laki 350 000 kwa mwezi kodi miezi 6 ruksa kuona nakulipa mpangaji anahama week hii paking ipo maji yapo
Service charge yakuona nyumba ni shi 30000 pia nakodi yamwezi 1 wadalali
call
#0716938128_0692198834☎️📞call
#0760097834_call whatsAp















