Search

Residential Plot for Sale in Kinyerezi Kifuru, Dar Es Salaam (300 sqm)

Sh. 4,000,000

Description

šŸ” KIWANJA KINAUZWA – KINYEREZI KIFURU (VIBURA), DAR ES SALAAM šŸ“

šŸ’° Bei: TSh 4,000,000 (Fixed)

āœ… Ukubwa: SQM 300
āœ… Kina fence upande mmoja
āœ… Eneo ni tambarare, tayari kwa ujenzi
āœ… Hatua chache tu kutoka barabara ya mtaa
āœ… Takriban KM 3 kutoka Stendi ya Kifuru Mjini
āœ… Barabara inapitika muda wote wa mwaka
āœ… Eneo linaendelea kwa kasi na huduma muhimu zinapatikana

šŸ  Kiwanja kinafaa kujenga nyumba ya kuishi au nyumba za kupangisha kwa ajili ya mapato ya kodi.

šŸ“„ Nyaraka: Sales Agreement (Umiliki halali)

āš ļø Bei ni Fixed – TSh 4,000,000.

šŸ“ž Service Charge: TSh 30,000/=

šŸ“± Wasiliana:

Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!! šŸ‡¹šŸ‡æ

Dalali Tabata

dalaliwakishua

@dalaliwakishua

View Listings

Similar properties in Kinyerezi, Dar Es Salaam

Dalali Tabata