Residential Plot for Sale in Tabata Segerea Chama, Dar Es Salaam (150 sqm)
Type
Residential Plot
Plot Size
150 SQM
Description
π‘ KIWANJA KINAUZWA β TABATA SEGEREA CHAMA
π Eneo: Tabata Segerea Chama
π Ukubwa: SQM 150
π° Bei: TSh Milioni 4
Hiki ni kiwanja kizuri kwa uwekezaji wa nyumba za biashara na kukuletea kipato cha kila mwezi.
Unaweza kujenga:
ποΈ Single Rooms 4β6 (choo kimoja cha pamoja), au
π Master Rooms 4 zenye choo cha ndani.
π΅ Makadirio ya Kodi
Single Room:
* Kodi kwa chumba: TSh 80,000 β 100,000 kwa mwezi.
* Ukijenga vyumba 6:
* 6 Γ 80,000 = TSh 480,000 kwa mwezi.
* 6 Γ 100,000 = TSh 600,000 kwa mwezi.
Master Room:
* Kodi kwa chumba: TSh 100,000 β 120,000 kwa mwezi.
* Ukijenga master 4:
* 4 Γ 100,000 = TSh 400,000 kwa mwezi.
* 4 Γ 120,000 = TSh 480,000 kwa mwezi.
π₯ Kwa bei ya Milioni 4 tu, hiki ni kiwanja kinachofaa kwa mtu anayetaka kuanza uwekezaji wa nyumba za kupangisha na kujenga chanzo cha kipato cha uhakika.
π° Service Charge: TSh 20,000/=
π€ Udalali: 10%
π Wasiliana nasi: +255 688 412 890
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!











