1 Bedroom Furnished House for Rent in Changanyikeni, Dar Es Salaam

Type
House
Bedrooms
1
Furnished
Yes
Amenities
Description
*master bedroom na jiko nzuri sana ya kisasa* *Kodi,maji,taka 350,000/= kwa mwezi* *unalipia kuanzia miezi 3* *Security deposit 100,000/= ( hii unarudishiwa siku utakayohama kama nyumba hautaharibu)* *unajitegemea umeme ,hulipii maji* *ipo ndani ya fence, parking na ni dk 4 uko chuo hata Raia ruksa kupanga* *unakuta kitanda,godoro,kabati kama unakuja na vitu vyako vinatolewa au unachagua kimoja wapo* location: Changanyikeni *piga simu 0672616197*















