3 Bedrooms Furnished House for Rent in Ituha, Mbeya






Sh. 400,000/month
Amenities
Description
NYUMBA FULL FURNISHED INAPANGISHWA – MBEYA MJINI
Vyumba 3, master bedroom 1, home office, garden nzuri, kisima na tenki la maji, uzio na geti, pamoja na nafasi kubwa ya kupaki magari 2. Ipo Shewa mpakani na Ituha, karibu na Kwa Masista.
Kodi: TSh 400,000 kwa mwezi
Malipo: angalau miezi 3
Inapatikana kuanzia 15 August














