House for Rent in Ubungo, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
Sh. 250,000 per month

Type

House

Description

NYUMBA YA KUPANGA- #UBUNGO_RIVERSIDE_KIBANGU 250,000 KWA MWEZI KODI MIEZI 6

📌CHUMBA MASTER
📌SEBULE KUBWA

Tsh. 250,000/=

Usafiri bajaj 500 kutokea ubungo riverside ukishuka unapiga teke mlango

Ni nyumba ya Kisasa ina Sebule na jiko Chumba cha kulala na choo ndani

Full Tilles,Gypsum & Aluminum slide window.

LUKU wawili na Maji yapo nje

Nyumba ipo ndani ya fensi Parking ipo kubwa sana

Kodi 250,000/= Kwa mwezi malipo miezi 6 na malipo ya mwezi mmoja wa dalali

Service_Charge_20,000/= ya kuonyeshwa na kutafutiwa Nyumba mpaka upate bila kuchajiwa tena ukirudi.

Normal Calls: 0688 067 289 📞