Search

House for Sale in Buguruni Sheli, Dar Es Salaam (691 sqm)

video thumbnail
Sh. 750,000,000

Description

HOUSE FOR SALE/INAUZWA
Ni nyumba mbili kwa moja
Zote ni za mtu mmoja
Na zote Zina mageti yake ya kuingilia yametofautishwa
Pia Kuna frem Tano ambazo zote Zina wapangaji
Ukubwa wa eneo ni square meter 691
Bei ni sh Milioni 750
Lkn pia kama ukitaka tukuuzie nyumba moja kati ya hizo mbili ni sawa njoo tutakuuzia
Ipo sehemu nzuri sana hata ghorofa unajenga
Kila nyumba Ina geti lake na parking yake ya ndani
Location BUGURUNI SHELI
0712265331 call/whatsap
Call me MR JAMBALAGA aka SENIOR

Similar properties in Buguruni, Dar Es Salaam