House for sale in Magomeni Morocco, Dar Es Salaam

Amenities
Description
Nyumba hiyo inauzwa ipo Magomeni Morocco Hotel mtaa wa Kisangiro inaukubwa wa sqm 385 ni nyumba ya pili kutoka barabara kubwa ya Kawawa Road mtaa wake umechangamka sana kwa biashara mmiliki ni mmoja na ina Hati ya kisasa ya wizara mwenyewe anauza ml.350Tsh maongezi yapo kidogo jamani kwa bei hii na nyumba mahala ilipo inatupwa mwenyewe ameamua kufanya bei hiyo ili apate ela kwa haraka kazi hii ni nzuri sana tena sana na imenyooka haina konakona kukagua mda wowote hakuna masharti
#0760097834_call











