Houses & Apartments for Sale in Chanika Nyeburu, Dar Es Salaam (8500 sqm)

Type
House
Bedrooms
4
Bathrooms
4
Plot Size
8500 SQM
Description
NYUMBA SITA (6) ZINAUZWA PAMOJA, CHANIKA-NYEBURU/ILALA.
Hapa tunakupa KITEGAUCHUMI cha maana.
Kipo umbali wa kilomita 32 kutoka Kariakoo.
Kiwanja kina ukubwa wa EKARI MBILI+ (SQM. 8,500)
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Nyumba moja ina vyumba vya kulala vinne(4)
Kila chumba hapa kina Choo chake ndani,
Pa kuna Sebule,Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Vile vile zipo nyumba 4 zinazofanana kwa kilakitu.
Kila moja ina vyumba vya kulala viwili (2)
Na kati hivyo kimoja (1) ni masta na zina Sebule, Jiko na Choo cha Familia ndani.
Eneo ni kubwa.
Unaweza kujenga zaidi au tena,
Kuendesha SHUGHULI ZA KITAASISI hapa
kama Zahanati,Shule ya Chekechea nk.
Uzuri zaidi, ndani ya Mali hii kuna KISIMA kinachotoa Maji salama.
UWEKEZAJI NI TZS.270 MILIONI.
_________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni 50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
__________________mpg















