Search

1 Bedroom House for Rent in Fuoni Mambosasa, Zanzibar - Unguja South

Zanzibar, Zanzibar
2 hours ago
Sh. 70,000/month

Description

CHUMBA SINGLE FUONI MAMBOSASA
#unguja #zanzibar

Bei Tsh 70,000/- Elfu sabini kwa Mwezi (Malipo kuanzia miezi 6)

Nyumba ina wapangaji wa 3

Fensi
Maji

Choo utashea na mpangaji 1

Mwendo wa dakika 7 mpaka barabarani kwa kutembea kwa miguu bila kutumia chombo chochots

Nyumba wanaishi wapangaji tu, mwenye nyumba mnakutana kwenye kodi na changamoto zitakazo muhusu

What’s App/Call 0653007438
#mtegemechanduguhufamaskini
#wahadhizote
#familiabei