1 Bedroom House for Rent in Goba Njia Nne, Dar Es Salaam

Amenities
Description
π‘ MASTER BEDROOM, SEBULE NA JIKO ; 400k Full Ac π Goba Njia nne- Nyumba ipo kama dakika Tano kutembea MAELEZO YA NYUMBA: βοΈ Master bedroom Nzuri sana βοΈ Sebule kubwa, ya kisasa na nadhifu βοΈ Jiko la kisasa lenye makabati βοΈ Parking kubwa na salama βοΈ Umeme unajitegemea βοΈ Ipo barabara Karibu na Lami π° Kodi: Tsh 400,000 kwa mwezi π Masharti ya malipo: Miezi 4 π Security Deposit: 200k (Inalipwa mara moja tu.) GHARAMA NYINGINE: πΉ Ada ya huduma: Tsh 30,000 (inalipwa mara moja tu) πΉ Ada ya dalali: Kodi ya mwezi 1 π Mawasiliano: Piga / WhatsApp: +255 692 932 076 π² Tufuatilie Instagram kwa nyumba zaidi zinazopatikana sasa.















