1 Bedroom House for Rent in Kimara Bucha, Dar Es Salaam

Description
MASTER BEDROOM KUBWA MPYA (STUDIO) YA KIBACHELA INAPANGISHWA
💥MASTER HII INA SIFA ZIFUATAZO
#CHUMBA MASTER BEDROOM KUBWA
#CHOO KIZURI MAJI DAWASA YANATOKA NDANI
#LUKU SUB METER
#KIPO NDANI YA FENSI
BEI NI 130,000/= X 6
💫💫MASTER HII IPO KIMARA BUCHA UPANDE WA KULIA KAMA UNAENDA MBEZI KUTOKA MOROGORO ROAD HADI KWENYE NYUMBA NI DK 10 TUU KWA MIGUU
KUONESHWA MASTER HII GARAMA YAKE NI SHILINGI ELFU 20 NA UKIIPENDA MASTER HII UTALIPIA PESA YA UDALALI KODI YA MWEZI MMOJA
Kwa maelezo zaidi piga :--
0712528820
0685221354
Mr.















