1 Bedrooms House for Rent in Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 130,000 per month

Type

House

Bedrooms

1

Description

MASTER BEDROOM NZURI INAPANGISHWA – KIMARA BUCHA

Location: Kimara Bucha
Distance: Takribani 1 km kutoka stand ya Mwendo Kasi.
🚶 Kwa mguu dakika 15 tu, na kwa bodaboda Tsh 1000 mpaka getini.

🏠 SIFA ZA NYUMBA
🔸 Chumba kimoja Master Bedroom.
🔸 Umeme wa LUKU (Submeter binafsi imefungwa).

🔸 Maji safi yanapatikana masaa 24/7.
🔸 Fensi & Parking kubwa na salama.
👉 Chumba kitakuwa wazi tarehe 29/03/2026 kuona ndani na kufanya luksa kabisa kwa uhuru. Booking inaruhusiwa.

GHARAMA
🔹 Kodi: Tsh 130,000 × miezi 6

🔹 Malipo ya Dalali: Tsh 130,000
🔹 Service Charge: Tsh 20,000

Normal Calls: 0688 067 289 📞