1 Bedroom House for Rent in Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

Amenities
Description
MASTER BEDROOM NZURI INAPANGISHWA – KIMARA MOROGWE
📍 Mahali: Kimara korogwe au kimaramwisho
🕗 Umbali: Takribani Dk 10 km kutoka stand ya Mwendo Kasi.
🚶 Kwa mguu dakika 10 tu, na kwa bodaboda Tsh 1000 mpaka getini.
🏠 SIFA ZA NYUMBA
Chumba kimoja Master Bedroom.
Umeme wa LUKU (Sora binafsi imefungwa).
Maji safi yanapatikana masaa 24/7.
Ndani ya fensi lakini ailazi Gari
👉 Chumba kipo wazi
GHARAMA
Kodi: Tsh 160,000 × miezi 3
Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 20,000 kuona nyumba
Mawasiliano 0656623510
WSP 0752436347















