1 Bedroom House for Rent in Msamala, Ruvuma

Msamala, Ruvuma
2 hours ago
Sh. 150,000/month
Amenities
Description
🏠 DALALI SONGEA 🏠
Karibu mteja wangu! Chumba kizuri cha Master na Sebule kinapatikana msamala
✅ Kipo ndani ya fensi
✅ Chumba kikubwa na sebule kubwa
✅ Choo na bafu vinamaliziwa kwa ajili ya mpangaji kuhamia haraka
✅ Mazingira mazuri na salama
💰 Kodi: Tsh 150,000 kwa mwezi
📞 0797754511 Wahi kuchukua nafasi mapema kabla hakijachukuliwa na mwingine.
📩 Karibu inbox kwa picha, video na maelezo zaidi.
#songea
#songeamjini



