1 Bedroom House for Rent in Tabata Kinyerezi Kibaga Zabika, Dar Es Salaam




Description
Chumba master na jiko inapangishwa bei 200000 kodi kuanzia miezi 6, umeme na maji unajitegemea, parking, paving block, tank la maji pia lipo, chumba hii hipo ndani ya fence, hapa kuna wapangaji 3 tu ndani ya fence, Located tabata kinyerezi kibaga zabika dar es salaam
Calla/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service survey charge tsh 15000
Au malipo ya dalali















