1 Bedrooms House for Rent at Ubungo, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 260,000

Type

House

Bedrooms

1

Description

:
๐˜ผ๐™ฅ๐™–๐™ง๐™ฉ๐™ข๐™š๐™ฃ๐™ฉ ๐™‰๐™ฏ๐™ช๐™ง๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™†๐™ช๐™ฅ๐™–๐™ฃ๐™œ๐™– 260k

: Ubungo Makoka kwa Mkuwa

: Dakika 4 kwa Mguu kutoka Barabara ya Rami inayotokea KOROGWE Kwenda EXTERNAL

Unaweza Ukapitia KIMARA KOROGWE Usafiri Bajaj 500 Barabara Mpya

Unaweza Ukapitia External Usafiri Bajaj 500 Barabara Mpya

Nyumba hii itakuwa wazi kuanzia tarehe 07.11.2025 kuona na kulipia ruksa kabisa

============
โ€ข Sebule Kubwa
โ€ข Chumba Kimoja Kikubwa Master
โ€ข Jiko lake Kubwa la Kisasa
โ€ข Public Toilet ya Wageni

Apartment zipo 4 ndani ya Fensi Parking ipo na kila Apartment Umeme LUKU na Maji DAWASA yanaflow ndani Chooni na Jikoni.

Tsh. 260,000/- Malipo Miezi 6

Survey Charge ni 15,000 tu Utaonyeshwa Nyumba zote unazohitaji Zilizopo na Malipo ya Dalali ni Mwezi Mmoja Pindi Ulipiapo Nyumba

0713661530_0783661530