8 Bedrooms House for Sale in Bunju Mianzini, Dar Es Salaam (400 sqm)

Amenities
Description
NYUMBA KUBWA VYUMBA VINGI,TSHS.60 MILIONI,
BUNJU-MIANZINI.
Hapa ni jirani na Barabara ya LAMI na,
Kumbuka ni kabla ya kufika BUNJU-A ukitokea MJINI.
Ipo nyumba kubwa moja na
Mabanda ya Uwani (UJENZI WA ZAMANI)
MUUNDO:
●Chumba na Sebule zipo 3.
●Chumba kimoja zipo 5.
●Na Choo cha nje.
Kiwanja SQM. 400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________mpg















