4 Bedrooms House for Sale in Gezaulole, Kigamboni, Dar Es Salaam (1060 sqm)
Type
House
Bedrooms
4
Plot Size
1060 SQM
Nearest Road
700m
Description
π‘ GHOROFA LA KISASA LINAUZWA β GEZAULOLE, KIGAMBONI π‘
Pata fursa ya kumiliki ghorofa la kifahari lililojengwa kwa ubora wa hali ya juu, katika eneo tulivu na lenye maendeleo makubwa.
π Location: Gezaulole β Kigamboni
π Ukubwa wa Kiwanja: SQM 1,060
π Umiliki: Hati ya Wizara
π£οΈ Umbali: Meta 700 kutoka barabara ya lami
π° Bei: TZS 450 Milioni
β¨ Sifa za Nyumba:
β
Vyumba 4 vya kulala (3 ni Master Bedroom)
β
Study Room
β
Sebule kubwa na ya kisasa
β
Dining Room
β
Jiko la kisasa lenye nafasi ya kutosha
β
Garden nzuri kwa mapumziko na mandhari ya kuvutia
β
Fence imara inayozunguka nyumba yote
β
Geti la kisasa
β
Kisima cha maji
β
Mnara wa maji
π‘ Nyumba hii ni chaguo bora kwa familia inayotafuta makazi ya kifahari au mwekezaji anayetaka mali yenye thamani inayoongezeka kila mwaka.
π 0656902073
#DalaliProKigamboni #Gezaulole #Kigamboni #NyumbaInauzwa #GhorofaLinauzwa HatiYaWizara RealEstateTanzania LuxuryHome















