Search

4 Bedrooms House for Sale in Kigamboni Kisiwani, Dar Es Salaam (800 sqm)

Sh. 120,000,000

Description

🏑πŸ”₯ NYUMBA YA KISASA INAUZWA – KIGAMBONI KISIWANI πŸ”₯🏑

πŸ’Ž FURSA NZURI KWA MAKAZI NA UWEKEZAJI!

Nyumba nzuri na ya kisasa inauzwa Kigamboni – Kisiwani, ikiwa kwenye mazingira mazuri, tulivu na mtaa wenye barabara nzuri inayofika moja kwa moja kwenye nyumba.

✨ SIFA ZA NYUMBA:
βœ… Vyumba 4, vyote Master
βœ… Sebule kubwa
βœ… Dining
βœ… Jiko
βœ… Kisima cha maji
πŸ“ Ukubwa wa kiwanja: SQM 800
πŸ“„ Nyaraka: Hati ya Serikali ya Mtaa
🏑 Nyumba ya kisasa kabisa
πŸ›£οΈ Barabara nzuri hadi kwenye nyumba
🌿 Mazingira mazuri na tulivu

πŸ“ UMBALI:
πŸ“Œ Mita chache kutoka Kisiwani Magengeni
πŸ“Œ Kilomita 4 kutoka Ferry
πŸ“Œ Kilomita 3 kutoka Daraja la Nyerere, Kigamboni

πŸ’° BEI: TZS MILIONI 120
🀝 Mazungumzo kidogo yapo.

πŸ”₯ Nyumba nzuri, location nzuri na mazingira mazuri kabisa. Karibuni sana kuitazama!

πŸ“ž 0769 554 221
πŸ“Service Charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingsongs

Similar properties in Kigamboni, Dar Es Salaam