4 Bedrooms House for sale in Kigamboni Kisiwani, Dar Es Salaam

Amenities
Description
🏡 NYUMBA NZURI INAUZWA KIGAMBONI KISIWANI – DAR ES SALAAM 🏡
Nyumba nzuri sana inauzwa eneo la Kigamboni Kisiwani, mazingira tulivu na salama kwa makazi ya familia pamoja na uwekezaji.
✨ SIFA ZA NYUMBA:
🛏️ Vyumba 4 vya kulala
🛋️ Sebule kubwa
🍽️ Dining
🍳 Jiko zuri
📏 Eneo la sqm 850
📄 Kiwanja kimepimwa na kina Hati ya Wizara
⚡ Umeme upo
💧 Maji yapo
📍 LOCATION:
🚗 Kilomita 2 tu mpaka Darajani
⛴️ Kilomita 4 tu mpaka Ferry
🔥 FAIDA ZA ENEO:
✅ Inafaa kuishi na familia
✅ Inafaa kwa uwekezaji wa kupanga
✅ Eneo kubwa unaweza kujenga:
• Servant quarter
• Vyumba vya kupangisha
• Apartment au biashara nyingine
🐔 Pia kuna sehemu ya mabanda kwa ajili ya kufugia kuku.
💰 BEI: TSH Milioni 115 tu
🤝 Mazungumzo kidogo yapo
💵 Service Charge: 30,000/= kwa site visit
📞 Call/WhatsApp: +255746407197
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidar #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam kigamboni nyumbainauzwa dar es salaam















