4 Bedrooms House for Sale in Tabata Chaโngombe, Dar Es Salaam (800 sqm)

Type
House
Bedrooms
4
Bathrooms
5
Plot Size
800 SQM
Amenities
Description
๐ก NYUMBA INAUZWA โ TABATA CHAโNGOMBE, DAR ES SALAAM ๐ก
๐ฐ Bei: Milioni 170 Tu
๐ Ukubwa: SQM 800
๐ Hati Miliki ya Wizara
Nyumba hii ya kisasa ipo ndani ya fensi katika eneo zuri la Tabata Chaโngombe, lenye miundombinu bora na mazingira mazuri ya kuishi.
โ
Vyumba 4 vya kulala, viwili Master Bedroom
โ
Sebule kubwa na ya kisasa
โ
Dining Room
โ
Jiko la kisasa
โ
Choo cha wageni (Public Toilet)
โ
Maji na umeme vipo
โ
Kisima cha maji
โ
Water Reserve Tank
๐ Pia kuna vyumba 4 vya nje, kila kimoja kikiwa na Master Bedroom, sebule na jiko, vinavyoweza kukuingizia kipato kizuri cha kodi kila mwezi.
๐ Unaweza kununua kwa ajili ya makazi binafsi au uwekezaji wa nyumba za kupangisha na kupata mapato ya uhakika.
๐ Eneo tulivu, salama na linalokua kwa kasi.
๐ Simu: +255 688 412 890
๐ต Service Charge: 50,000/=
๐ DALALI WAKISHUA
๐ฅ Wahi Sasa Offer Kabambe!
โจ Miliki Kesho Yako Leo!!!















