4 Bedrooms House for Sale in Tabata Segerea, Zanati ya Segerea, Dar Es Salaam (500 sqm)

video thumbnail
Sh. 50,000,000

Type

House

Bedrooms

4

Plot Size

500 SQM

Nearest Road

10minute

Amenities

Tiles
Dining Room
Kitchen
Sitting Room
Fans
Public Toilet

Description

🏡✨ NYUMBA YA KUMALIZIA INAUZWA – TABATA SEGEREA, ZANATI YA SEGEREA ✨🏡

Fursa nzuri sana kwa makazi au uwekezaji imefika maeneo ya Tabata Segerea, Zanati ya Segerea 📍
Nyumba ipo kwenye location nzuri, tambarare, na panafikika bila shida kabisa.

🚗 Umbali: Takribani dakika 10 kutoka barabara kuu
🛣️ Unaweza kupitia Segerea kwa Bibi au Sanene

🏠 Ina:
✅ Vyumba 4 vya kulala
✅ Kimoja ni Master Bedroom
✅ Sebule kubwa
✅ Dining
✅ Jiko
✅ Choo cha public

📐 Ukubwa wa eneo: SQM 500
💰 Bei: Milioni 50 tu
💵 Service charge: Tsh 30,000/=

💡 Inafaa kwa:
✔️ Kumalizia na kuishi mwenyewe
✔️ Kupangisha kama stand-alone house
✔️ Kuweka apartments kwa ajili ya mapato ya kodi

🔥 Karibu tajiri, fursa ya uwekezaji usiikose!
📞 +255688412890 Muhitaji karibu tufanye biashara.