Search

5 Bedrooms House for Sale in Goba Kulangwa, Dar Es Salaam (1700 sqm)

Sh. 900,000,000

Description

NYUMBA YA GHOROFA INAUZWA GOBA KULANGWA β€” BEI RAFIKI KABISAπŸ”₯🏠

Mmiliki anahitaji fedha ya haraka, hivyo nyumba hii inauzwa kwa bei ya kipekee. Anayewahi ndiye anayechukua!

πŸ“ Eneo: Goba Kulangwa β€” takribani km 1 kutoka barabara kuu ya Goba

🏠 Aina: Nyumba mpya ya ghorofa moja
πŸ“ Ukubwa wa kiwanja: SQM 1,700
πŸ“œ Umiliki: Ina Hati Miliki (Title Deed)
⭐ SIFA ZA NYUMBA
πŸ›οΈ Vyumba 5 vya kulala, vyote Master Bedrooms
⬆️ Ghorofa ya juu: vyumba 3
⬇️ Chini: vyumba 2

🎨 Finishings za ndani zimekamilika na nyumba imepambwa kwa rangi
πŸ›οΈ Baadhi ya vitanda vipo tayari
πŸ”¨ Imebaki kumalizia vitu vidogo sana vya nje
πŸŒ† Ipo kwenye mtaa mzuri na wa kisasa, uliojengeka vizuri na kuzungukwa na nyumba za kifahari
πŸ’° BEI: TSh MILIONI 900 TU

🀝 Mazungumzo yapo mezani kwa mnunuzi serious.
anayechukua!
πŸ“ž WASILIANA NAMI KWA MAELEZO ZAIDI NA KUONA NYUMBA.

Site Visit 50,000
#
#

dalalismart_tegeta _madale

dalalismart_tegetamadale

@dalalismart_tegetamadale

View Listings

Similar properties in Goba, Dar Es Salaam

3 Bedrooms House for Sale in Goba Tegeta A, Dar Es Salaam (251 sqm)

Sh. 55,000,000

For Sale3 beds1 bath251 sqmhouse
8 Bedrooms House for Sale in Goba Center, Dar Es Salaam (2500 sqm)

Sh. 1,400,000,000

For Sale8 beds2,500 sqmhouse
5 Bedrooms Furnished House for Sale in Goba Kulangwa, Dar Es Salaam (1700 sqm)

Sh. 900,000,000

For Sale5 beds1,700 sqmFurnishedhouse
dalalismart_tegeta _madale