3 Bedrooms House for Rent in Goba Njia Nne, Dar Es Salaam
Description
🔥 NYUMBA YA GHOROFA KISASA INAPANGISHWA – GOBA NJIA NNE! 🔥
Unatafuta nyumba kubwa, ya kifahari na yenye amani kwa ajili ya familia yako? Hii hapa ndio yenyewe! 🔑✨
🏡 Sifa: Vyumba 3 vya kulala (Master Bedroom ipo), Sebule kubwa ya kifahari, Dining, na Jiko la kisasa!
📍 Eneo: Goba Njia Nne (mazingira tulivu, salama na yanayofikika kiurahisi).
🏛️ Muonekano: Ghorofa ya kisasa, balconies zenye upepo mwanana, paved compound, na fence salama.
💰 Kodi: TZS 850,000/= tu kwa mwezi!
⚠️ Nyumba za ghorofa kama hii Goba hazikai sokoni! Wahi sasa hivi kabla haijachukuliwa! 🏃♂️💨
📞 Piga simu / WhatsApp sasa: kuisukumia au kuja kuikagua! 📲✨















