Search

3 Bedrooms House for Rent in Kimara Mwisho, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
media -7
media -8
Sh. 400,000/month

Description

Nyumba kubwa ya kifamilia inapangishwa

Vyumba v3 kimoja master sebule kubwa jiko store choo cha public ndan dinning

Nyumba ipo ndan ya fanc mazingila mazuli sana

Kod 400000 x6 wahi

Zipo apartments mbili kwenye fanc moja na kila moja inajitegemea umeme na maji

Nyumba ipo kimara mwisho km1 tuu kutoka mwendokas

Galama za kupelekwa kuona 20k ukilipia utatoa mwez kwa dalali
SIMU
0712656027

Similar properties in Kimara, Dar Es Salaam