3 Bedrooms House for Rent in Mwanza









Mwanza
1 day ago
Sh. 250,000/month
Amenities
Description
• Nyumba Inapangishwa
👉 Ina vyumba vitatu vyakulala
👉 Chumba kimoja ni master
👉 Sebule kubwa
👉 Jiko smart
👉 Public Toilet & SimTank
👉 Inajitegemea umeme na maji
Kwa mwezi 250k
Malipo kuanzia miezi sita
Call Or WhatsApp:















