3 Bedrooms House for Sale in Bonyokwa, Dar Es Salaam


Amenities
Description
š” NYUMBA INAUZWA ā BONYOKWA, DAR ES SALAAM š”
Unatafuta nyumba nzuri ya kuishi au kufanya uwekezaji wenye faida? Hii ndiyo fursa yako!
š Location: Bonyokwa, upande wa Katani kutoka standi.
š£ļø Barabara ya lami inafika hadi kwenye nyumba, hivyo usafiri ni rahisi wakati wote.
⨠Sifa za Nyumba:
ā
Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master)
ā
Sebule kubwa
ā
Jiko la nje
ā
Public toilet
ā
Umeme na maji vinapatikana
ā
Ipo ndani ya fence
ā
Parking kubwa na salama
ā
Eneo tulivu lenye mazingira mazuri
š³ Faida ya Ziada:
Nyuma ya nyumba kuna nafasi kubwa ambayo unaweza:
* Kutengeneza garden nzuri ya kupumzikia, au
* Kujenga vyumba vya kupangisha (master za biashara) na kupata kipato cha kila mwezi.
š¼ Fursa kwa Wawekezaji
Eneo la Bonyokwa lina mahitaji makubwa ya nyumba za kupangisha. Unaweza kununua nyumba hii, ukaipangisha, na pia ukajenga vyumba vingine nyuma ili kuongeza mapato yako.
š° Bei: Tsh Milioni 65
šµ Service Charge: 30,000/=
š Muhitaji piga au WhatsApp:
Wahi sasa kabla haijachukuliwa!







