Search

3 Bedrooms House for Sale in Fancity, Kigamboni, Dar Es Salaam (300 sqm)

Sh. 33,000,000

Amenities

Tiles
Wiring Of Electricity Completed
Unfinished House

Description

🏑 NYUMBA YA MALIZIAJI INAUZWA – KIGAMBONI, FANCITY(MTAA WA LUGWADU) 🏑

Fursa nzuri ya kumiliki nyumba katika eneo linalokua kwa kasi la Fanesi City, Kigamboni.

✨ Sifa za Nyumba:
βœ… Vyumba 3, vyote Master Bedroom
βœ… Sebule kubwa
βœ… Jiko
βœ… Tayari imeezekwa bati
βœ… Wiring ya umeme imekamilika
βœ… Vyoo vimewekewa vigae (tiles)
βœ… Nyumba ipo hatua nzuri ya umaliziaji

πŸ“ Ukubwa wa Kiwanja:
β€’ Mita 15 Γ— 15 (SQM 300)

πŸ“ Mahali:
β€’ Kilomita 2 kutoka Barabara Kuu ya Lami
β€’ Kilomita 9 kutoka Ferry
β€’ Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere

πŸ’° Bei: TZS Milioni 33
Maongezi yapo kidogo kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati.

πŸ“ž0769554221

#trendingvideo #istagram #realestatemarket #tanzania #trendingaudio

Similar properties in Kigamboni, Dar Es Salaam

4 Bedrooms House for Sale in Kisarawe, Kigamboni, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Sh. 130,000,000

For Sale4 beds4 baths1,000 sqmhouse