3 Bedrooms House for Sale in Kibada, Dar Es Salaam (700 sqm)

Type
House
Bedrooms
3
Plot Size
700 SQM
Nearest Road
1km
Amenities
Description
NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI, KIBADA 🏡
Fursa nzuri ya kumiliki nyumba katika eneo linalokua kwa kasi la Kigamboni – Kibada. Nyumba ipo katika hatua ya finishing, hivyo unaweza kuikamilisha kwa mtindo unaoupenda.
✅ Vyumba 3 (Vyumba 2 ni Master)
✅ Sebule kubwa
✅ Jiko
✅ Ukubwa wa kiwanja: 700 Sqm
✅ Hati ya Wilaya
💰 Bei: TZS Milioni 68 (Maongezi yapo)
📍 Umbali:
• Kilomita 1 kutoka barabara ya lami
• Kilomita 7 kutoka Feri ya Kigamboni
• Kilomita 8 kutoka Daraja la Nyerere
🌟 Inafaa kwa makazi na uwekezaji kutokana na eneo lake lenye maendeleo ya haraka.
📞 0769554221
#trendingvideo #realestateagents #istagram #tanzania #trendingnow















