3 Bedrooms House for sale in Kibada, Dar Es Salaam
Amenities
Description
π‘ NYUMBA INAUZWA β KIGAMBONI, KIBADA
Fursa nzuri ya kumiliki nyumba ya kisasa katika eneo tulivu na linalokua kwa kasi. Nyumba ipo tayari kuhamia na inafaa kwa makazi ya familia.
π Mahali: Kigamboni β Kibada
Sifa za Nyumba:
β
Vyumba 3, vyote Master
β
Sebule kubwa
β
Jiko
β
Umeme tayari
β
Maji yanapatikana
β
Shapu imekamilika (Board juu, chini na cement)
π Ukubwa wa Eneo: SQM 300
π Nyaraka: Hati ya Serikali ya Mtaa
π Umbali: Karibu na Baba Alami
π° Bei: TZS Milioni 60 (Mazungumzo yapo)
π Wasiliana Nasi:
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingnow















