3 Bedrooms House for Sale in Kigamboni Kibugumo, Dar Es Salaam (880 sqm)

Amenities
Description
π‘ NYUMBA INAUZWA β KIGAMBONI, KIBUGUMO
π₯ FURSA NZURI KWA MAKAZI NA UWEKEZAJI! π₯
Nyumba inauzwa katika eneo la Kigamboni β Kibugumo, eneo tulivu na zuri kwa makazi pamoja na uwekezaji wa nyumba za kupangisha.
β¨ SIFA ZA NYUMBA:
β
Vyumba 3
β
Vyumba 2 ni Master
β
Sebule
β
Jiko
π Ukubwa wa Kiwanja: SQM 880
π Nyaraka: Hati ya Serikali ya Mtaa
π UMBALI:
π Takribani km 3 kutoka Baba Alami
π Km 8 kutoka Ferry
π Km 9 kutoka Daraja la Nyerere
π° BEI: TZS MILIONI 88
π€ Mazungumzo kidogo yapo.
π₯ FURSA YA UWEKEZAJI
Nyumba hii inafaa kwa makazi ya familia au kwa mwekezaji anayelenga nyumba za kupangisha na kupata kipato cha kila mwezi.
π WASILIANA NASI: 0769 554 221
πService Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















