3 Bedrooms House for Sale in Kinyerezi Songas, Dar Es Salaam (400 sqm)


Type
House
Bedrooms
3
Bathrooms
1
Plot Size
400 SQM
Amenities
Description
๐ก NYUMBA INAUZWA KINYEREZI SONGAS โ LOCATION NZURI SANA! ๐ฅ
Fursa adimu ya kumiliki nyumba iliyopo Kinyerezi Songas, ikiwa ni nyumba ya pili kutoka barabara ya lami. Eneo linafikika kwa urahisi na lina mazingira mazuri ya kuishi pamoja na uwekezaji.
โ
Ina:
* Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master)
* Sebule kubwa
* Jiko
* Choo cha Public
* Umeme na maji vinapatikana
* Parking ya kutosha
๐ Ukubwa wa eneo: Sqm 400
๐ Inafaa kwa:
* Makazi ya familia
* Uwekezaji wa nyumba za kupangisha
* Apartments
* Lodge au biashara nyingine kutokana na location yake nzuri karibu na barabara kuu
๐ฐ Bei: Milioni 60 Tu (BEI NI FIXED)
๐ฅ Wahi Sasa, Offer Kabambe!
Miliki Kesho Yako Leo!!!
๐ Muhitaji piga:
Service Charge / Gharama ya Huduma: 30,000/=
๐ Karibu Tajiri โ Dalali Wako Wakishua! โจ















