3 Bedrooms House for Sale in Kiseke B, Mwanza

Amenities
Description
Ni two in one..<br/>Kila nyumba inavyumba vitatu sebule jiko stoo nk <br/>Pia kila nyumba inampangaji anayelipa kodi ya 3.5m kwa mwaka..jumla ya kodi nyumba zote mbili ni milioni 7 kwa mwaka..<br/>Nyumba ipo kiseke b jijini Mwanza..<br/>Ni nyumba ya pili kutoka lami<br/>Inauzwa milioni 150 tu! Pesa faster <br/>Maelezo zaidi nenda WhatsApp 0763 296 711











